❤️❤️MAPENZI MUBASHARA.

 Love is beatiful thing..

Mapenzi ni kitu kizuri kama ukiwa unakiishi na mwenzako anakiishi.vivyo hivyo kwa Wanyama upendo wao ni mara Dufu..

Ni Wanyama Wanaopendena Sana si jike si dume Upendo umetawala kwa wanyama mfano kuna Jogoo na tetea ni mifano dhahiri juu ya upendo wao tunapoona jogoo mwingine akimsogelea Tetea ni Ugomvi.

Vivo hivyo kwa Bata mzinga au Bata maji wivu kwa bata Dume huwa karibu anapokuwa na bata jike 

One more time 

   *


Love is Beatiful thing*


Whatsap Toa maoni yako juu Aina ya wanyAma wenye wivu zaidi.

0655087043

Post a Comment (0)
Previous Post Next Post